|
|
F C7 F
1.Malaika, nakupenda Malaika.
F C7 F
Malaika, nakupenda Malaika.
F7 Bb G7
Ningekuoa na mali,we,ningekuoa dada.
C7 F
Nashindwa na mali sina, we,
C7 F
Ningekuoa Malaika.
2.Pesa zasumbua roho yangu
Pesa zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.
3.Kidege, hukuwaza kidege.
Kidege, hukuwaza kidege.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,ningekuoa kidege.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa kidege.
|
|